Pages - Menu

follow

08/08/2015

MJUE MIRADI AYO HAPA

MIRADI AYO
Ni mtangazji wa tv  na redio station  pia ana run website yake mwenyewe inayo julikana kwa “miradi ayo”
Amekuwa ni mtangazaji mwenye ushawaishi mkubwa kwa vijana na kuwa mfano wa kuiigwa

Miradi ayo amezaliwa na kusoma elimu yake mkoani Arusha kabla ya kujiunga na chuo cha utangazaji EAST AFRICA TRANING INSTITUTE
Ila kwa upande wa darasani miradi ana kili hakuwa mzuri kiasi cha kufikia hatua ya kuamini pengine ye maisha yake hayako upande wa elimu
CHANGAMOTO
Akizungumza na blog hii miradi anasema “kipindi ambacho kilikuwa kigumu ni pale baba yangu alipopata ajari ya gar ambalo alikuwa akilitegemea kuingizia kipato uchumi ukayumba sana pale nyumbani ” 

MTU MABAYE ATAMSAHAU
Mtangazaji huyo mwenye sauti ya kipekee akiwa hewani anasema  mtu ambaye hatokuja kumsahau katika maisha yake ni mjomba wake gablier robart ambaye alikuwa ametokea malekani na kufikia pale home na kuongea na mama wa miradi ayo kuhusu kitu anacho kipenda miradi. nayeye  akachukua jukumu la kumsomesha katika chuo cha utangazaji cha east Africa institute

MAFANIKIO
Miradi ameshinda tuzo za watu mala mbili 2015 katika kipengela cha
Blog/website inayopendwa  na watu miradi ayo.com imeshinda
2014 ameshinda mtangazaji wa redio anayependwa na watu
Ana miliki tv ya online AYO TV ambayo imekuwa gumzo sana
Pia ana mpango wa kufungua radio station yake mwenyewe amesha nunua vifaa bado mambo  madogo  ambayo anayaweka sawa amehaidi kama atakamilisha atatutalifu

UJUMBE KUTOKA KWA MIRADI AYO
Ili ufanikiwe unahitaji kuwa mvumilivu na mchapakazi pamoja na heshima kwa rika zote


We ni wathamani endelea kuwa pamoja na mimi ili kuendelea kupata habari zinapotufika pia usisahau. ku subscribe chanel yangu ya youtube.pamoja na  facebook na  twitter
“Wewe ni wa thamani kwangu”

06/08/2015

Wasanii wamuaga Dr. Jakaya Kikwete na kumkaribisha Dr. John Pombe Magufuli Mlimani City




Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli, Hafla hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali wakiwemo waigizaji wa filamu, wachezaji na wanamuziki wakishiriki kwa pamoja kumshukuru Dr. Jakaya Kikwete, Kulia ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mh.



Rais Dr. Jakaya Kikwete akiongozana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kushoto, Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli na Mwigizaji Jacob Steven JB wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Mlimani City.

Mwanamuziki Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz akiwasili na Meneja wake wa shughuli za kimataifa Bw.Salam.

Davis Mosha (kulia) akiwa pamoja na Mboni Masimba wa The Mboni Show wakiperuzi kwenye simu.




Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Adam Mchomvu mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds Radio.


 
We ni wathamani endelea kuwa pamoja na mimi ili kuendelea kupata habari zinapotufika pia usisahau. ku subscribe chanel yangu ya youtube.pamoja na  facebook na  twitter
“Wewe ni wa thamani kwangu"
 
 



New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI