Pages - Menu

follow

17/08/2015

2 CHAIN ATOA MIXTAPE TRAPAVEL TRE

2chain ameachia mix tape yenye nyimbo 16 katika mixtap hii amewataja kuwepo na wasanii wakubwa kama wizkhalifa, the dream,kevin gates na wengineo kwa upande wa productio 2chain amfanya na ma producer wenye majina makubwa katika game kama FKi, Mike Dean, Honorable C-Note, Zaytoven, Nard & B, TM-88, and Murda Beatz na wengineo

unaweza ukaisikiliza na kuidownload bule na hii ndo list ya nyimbo zilizo kuwepo kwenye hii mixtape
Tracklist
01. DJ Bigga Rankin Intro
02. Neighborhood (Prod. By B Wheezy iBeatz Mike Dean X)
03. A Milli Billi Trilli Feat. Wiz Khalifa (Prod. By FKi Murda Beatz)
04. Everything I Know (Prod. By Nard B)
05. Watch Out (Prod. By FKi)
06. BFF (Prod. By Zaytoven)
07. I Feel Like Feat. Kevin Gates (Prod. By Hitmakah Arch tha Boss)
08. GOAT Feat. The Dream (Prod. By Bwheezy Mike Dean)
09. Halo Letter From My Unborn Son Feat. Heaven Harmony (Prod. By Street Symphony 808xElite)
10. Big Meech Era (Prod. By TM88)
11. Starter Kit Feat. Young Dolph (Prod. By Zaytoven)
12. If I Didn t Rap (Prod. By Fresh Jones)
13. El Chapo Jr (Prod. By Two7teen)
14. Lapdance In The Trap House (Prod. By Honorable C Note)
15. Each Erry One Of Em Feat. Cap 1 Skooly (Prod. By Honorable C Note)
16. Blue Dolphin Feat. Betty Idol (Prod. By Nard B)

16/08/2015

LIKE FATHER LIKE SON REMIX


AMBWENE ALLEN YESSAYA (A.Y)

Abwne allen yessaya alizaliwa julai 5 1981jina la stage anajulikana kama A.Y ni mwanamuziki anaye fanya mzik wa komesho,rap na hip hop PIA ni muigizaji na mwanamitindo  kutokea nchi ya Tanzania

A.Y  tangu alipo kuwa mototo alijihusisha na maswala ya muziki alipo kuwa shule ya msingi alikuwa akishiliki katika matamasha mbali mbali ya kutafuta vipaji na pia alitumbuiza katika halfa mbali mbali. Mnamo mwaka 1996 akiwa high school aliunda kundi la S.O.G  lililo jumuisha wasanii wa tatu akiwepo yeye mwnyewe katika hilo kundi na wenzake wa wili

Mwaka 2005,AY alitoa albamu yake ya pili aliyoipa jina ‘Hisia Zangu’, na ‘Yule’, single ya kwanza kutoka katika albamu hiyo, ilikamata chati mbalimbali za muziki.Katika albamu hii,AY aliwashirikisha wasanii mbalimbali maarufu katika Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Prezzo,Tattuu na Dexu Vultures (wote kutoka Kenya) na msanii Maurice Kirya kutoka Uganda.Hii ilisaidia sana kumtangaza zaidi AY nje ya mipaka ya Tanzania.Single yake ya pili, ‘Binadamu’,ilifanya vizuri sana ukanda mzima wa Afrika Mashariki na hatimaye kuteuliwa kugombea Tuzo za Kora,jambo lililoandika historia kwani AY ni msanii wa kwanza wa kiume kutoka Tanzania kuteuliwa kugombea Tuzo hiyo
 Umaarufu wa AY ulizidi kuongezeka hasa baada ya kutoa albamu hiyo ya pili,na sasa alitambulika kama mmoja wa wasanii mahiri wa Afrika Mashariki.Mwaka 2006 alifanikiwa kupata mkataba wa kutangaza kinywaji (kikali) cha ‘Konyagi’ ambacho ni maarufu ndani na nje ya Tanzania.Mkataba huo ulichangia AY kutambulika zaidi kupitia matangazo ya kinyaji hicho,na ulifungua njia kwa makampuni mengine,kama Coca Cola,Vodacom,Celtel (sasa Tigo) na Kilimanjaro Lager kuingia mikataba na msanii huyo

New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI