Pages - Menu

follow

11/06/2015

DIZASTA VINA

jina halisi ni edger vicent, jina la kwenye stage anajulikana kama dizasta vina mnyakyusa kutoka mbeya.ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanaume pekee akiwa na dada zake wawili
 ELIMU alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi ya kimanga,wilaya ya ilala jijini dar es salaam kabla ya kuendelea na masomo ya sekondari katika shule binafsi ya WHITE LAKE SECONDARY SCHOOL iliyopo eneo la changanyikeni jijini dar es salaam kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya SOUTHERN HIGHLAND SECONDARY SCHOOL iliyopo soweto jijini mbeya.aliendelea na masomo ya elimu ya juu katika shule ya KIGOMA BOYS HIGH SCHOOL kabla ya kumalizia katika shule ya MBEYA HIGH SCHOOL na kisha kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika taasisi ya usimamizi wa fedha IFM mwaka 2013.


MUZIKI alipenda mziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda mziki sana,mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mapka sasa".alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama professor jay,afande sele,juma nature na solo thang na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo.anasema "nilipata inspiration kubwa kutoka katika album ya MACHOZI JASHO NA DAMU ya   professor jay"
HARAKATI ZA KUTOKA KIMZIKI alijiingiza rasmi katika muziki mwaka 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwemo SM STRAIGHT MUZIK FREESTYLE BATTLE mwaka 2010 mkoani iringa.mwaka 2011 alikutana na producer aliyemwinua duke touchez."duke alinipa mwongozo wa jinsi ya kijiunga na tamadunimuzik ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya foundation" dizasta alishiriki mashindano ya kurap katika tamasha la kuachia santuri 5 kwa mpigo (african son ya stereo,sauti ya jogoo ya nikki mbishi,mzimu wa shabaan robert ya nash mc,underground legendary ya duke touchez na mathematrix ya songa na ghetto ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na tamadunimuzik.
Nyimbo alizo fanikiwa ku record- mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi HARDER  www.mdundo.com/song/12799  na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana the ultimate     ,sautiyamtaa (http://www.reverbnation.com/dizasta4/song/18691461-mkemia-dizasta-dubo-n-phil-techniques) kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013.mwaka 2013   aliachia track nyingine iliyokwenda kwa jina la tega sikio www.mdundo.com/song/12837 ,goli la ushindi www.mdundo.com/song/12836  .kisa cha nyumba ndogo www.mdundo.com/song/15974 na sister www.mdundo.com/song/20014 alishiriki kwenye underground project ya producer AK 47 iliyokwenda kwa jina la heavyweight akishirikiana na msanii tifa flows www.mdundo.com/song/12838 pia katika project ya uwezo ya producer ngwesa katik track ya miss tamaduni akishirikiana na jeff duma www.mdundo.com/song/15525 .mwaka huo huo alishiriki katika album ya upande wa pili wa sarafu ya producer abby mp,project ya kilinge ya duke touchez,album ya kiutu uzima ya msanii kadgo,mixtape ya slow jams ya producer innocent mujwahuki,tamaduni foundation ya ngwesa na representing africa popote ya one the incredible


   tayari ameshaachia track mwaka 2015 inayokwnda kwa jina la kijogoo
www.mdundo.com/song/25504 ,ameshirikikatika project ya siku nikifa ya kipepe www.mdunndo.com/song/24731  

     IMANI  dizasta vina  ni muumini wa dini ya kikristu na anaabudu katika dhehebu la kikatoriki,anashiriki katika sala na misa kila  anapopata wakati.anasema "kuna muda utafika muziki hautakuwa mwokozi wako,lazima na tutambue kuwa kuna maisha baada ya kifo hivyo tujiandae"

         NJE YA MUZIKI dizasta VINA  ni mwanafunzi wa mwaka wa pili akichukua stashahada ya kwanza udhamiri katika uhasibu (bachelor degree in accountancy) 2015.ni mpenzi wa mpira wa miguu na ni mshabiki wa kutupwa wa timu ya yanga na arsenal.dizasta ni mpenzi wa mchezo wa kuogelea pia ni muogeleaji mzuri.




PAKUA NYIMBO NYINGINE ZA DIZASTA VINA HAPA

foundation  
www.mdundo.com/song/12840

word play feat shaolin  
www.mdundo.com/song/24733

bado nzito feat one n
dubowww.mdundo.com/song/12839

siku nikifa 
www.mdundo.com/song/24731

kijogoo 
www.mdundo.com/song/25504

goli la ushindi 
www.mdundo.com/song/12836
HANA PATIKANA KATIKA MITANDAO  HII YA KIJAMII
Facebook- dizasta vina
Tweeter-@dizastavina
Instagram-@dizastavina

07/06/2015

Nyimbo    SONGA BEKI 3 - FT ALUMERU
Producer- mujwa huki
Vers songa
Ni mzuli kwa mboni ana staha za ki sister
Kafundwa unjagoni takribani miaka sita
Tamaa hazigomi zinajaa akipita anadunda huyu shujaa mwenye slaha za ki vita
Ujana na mwendo kielimu hana malengo sababu ya huwezo  duni alishia kutazama majengo
Muumba wa hupendo hakumtupa huyu mrembo aliye sumbuka ila ametukuka kwa mapendo
Akapata dili  mjini kuna mama tajiri anaitaji mfanya kazi ila siyo kazi imchape
Akafikiri kuna haja ya kusafiri ikabidi hawache wazazi ili kazi haifate
Amepauka  kama jinsi ya mtumba kichwani husia mwingi wa dingi na bi mkubwa

Kuwa makini hii dunia haifai utapoteza uhai mjini ukitulia utafulai

Chorous ALUMERU
Huu sio mwisho
Bali ni mwanzo wa mengi majuto na mateso
Yatokanayo na yake mapito ni mwanzo oo majuto oo na mateso oo ya mapito oo
Vers 3 songa
Binti akabaki njia panda pa kupanda hakujua ikabidi hamulize mama vipi baba akijua
Hawezi jua mi ndo baba mwenye nyumba kama hakijua nitakupa pesa hutapanga chumba
Kigugumizi akapigwa  mabusu ya wizi huyu beki hakukaba sana akaluhusu mashambulizi
Kweli huktaka ngoma nenda msondo
Beki akwa noma na akaanza kucheza ndondo
Mama alihisi  na mwisho akagundua
Akamfukuza binti na kumpa vitisho vya kumuua
Dingi hakujua aliye mwamini kasha umia
Wali mpa pesa nyingi ila ukimwi wameambulia
Wanajutia huamuzi waliochukua huku binti analia
Vipi wazazi wakijua
Take one kama zamaradi akuteme
Leo hii analudi bush na zawadi ya umeme!
 Artist P the mc
Producer  pala
Song huna jipya
Vers 1
Hunakumbuka ile siku unafika dar kila ulichokiona ulishangaa
Tabu sanaa ubungo  kila upande unaushangaa njiani unapiga watu vikumbo
Unagauni la  duka mbele umesuka twende kilioni kwa mbele zimefumuka
Ila wala haukujali ukajiona mwali mwnye
kila sifa bora ya kujivisha ufahali
Tukafika zetu home kiwalani
 maskani bom bom  ndo nyumbani
Hadi kwa mama p msalimie mzazi
 alikuleta dar ili utupunguzie kazi
Hautoishi kama house girl zaidi ya ndugu
 ila kupita mwezi ikawa kutwa vurugu
 Hukatekwa na jiji ujanja ukakupa kichwa

 taratibu tabia ikaanza kubadirika

 chorus  p the mc
Pole kwa yalio kukuta hili jiji umelikimbilia kwa pupa sasa umepoteza dila
Hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kujuta
 Vers 2 p the mc
Hukaanza michongo ya kuilubuni bajeti
 hunapika ndondo ili Uende saloon ukaset
ukaanza resi majanga haueleweki
Ukiagizwa tu sokoni hunajipamba haielezeki
Hubaya mama alipo kupatia simu
 mi nadhani hiyo ndiyo iliyo kutia wazimu
Siku tu hushagawa namba kitaa kizima
 hukashuka bei  yaani utadhani bidhaa ya kichina
Mpaka tola mlevi asie na maana
 eti akikukosa  basi p the mc na bana
Unanifanya naonekana sina maana au
lengo lako mi nigombane na kila mwana
Wanakuitwa namba one kwa ubunifu
 we kila kiwanja iwe mchangani ama tifu tifu
Navishwa ubaya naibika naona haya
 sababu ni wewe umeshahalibika kwa  umalaya

chorus p the mc
Pole kwa yalio kukuta hili jiji umelikimbilia kwa pupa sasa umepoteza dila
Hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kujuta
Ver3
Mala ukanza mitego ya kuninyemelea
  kulinda heshima ya home mi Nikakupotezea
kukutosa ukaanza tangaza mbovu
 eti sina makeke siyo mess ni baba tovu
Sitaki ma kuu kupenda unafuu
 wakati kitaa kuna nyomi la masista duu
Yote uliyo yafanya ikawa haitoshi
 we ndo kocha wa umalaya ukaanza gawa vikosi
Ukajenga bonge la kundi malafiki ukija nao home kivumbi hapa kakaliki
Wengi wa mesha lewa ,mitungi chupa za wisk
 wengine mi bang hadi mavumbi wanashiliki
Muende bar kukesha mpendwe  na wenye pesa
 mkate mbuni zaidi zidi ya wenge twanga pepeta
Mwanzoni hulijiona dili sasa una mimba
 na miwaya tumeshaziona kila dalili
chorus p the mc
Pole kwa yalio kukuta hili jiji umelikimbilia kwa pupa sasa umepoteza dila
Hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kujuta 

New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI