Pages - Menu

follow

03/10/2016

KEYTUC TZ Biography



KEYTUC Tz
Joseph Audax alizaliwa tar 1-6-1992 Jijin dar es saalam katika hospital ya mwananyamala .keytuc ni mtoto wa kwanza katika familia ya Mzee Audax akiwa na wadogo zake wawili

Elimu ya msingi alipata katika shule ya kumbu kumbu iliyopo wilaya ya kinondoni alimaliza 2005. Form 4 alimaliza katika shule ya sekondari Osterbay mwaka 2009. Nkujiunga na chuo cha Information technology mwaka 2014 na kumaliza 2015. Joseph ni mumin wa Dini ya kikristo pamoja na familia yake.

MAISHA NA SANAA
Keytuc ana jihusisha na maswala ya GRAPHICS pamoja na Uandishi wa story na Uandishi wa nyimbo za aina tofauti tofauti kama Hip Hop na R&B .pamoja na hayo yote anandika scripty za movie na video music.

MITANDAO YA KIJAMII ANAYO PATIKANA
Twitter   @keytuc  tz
Facebook  keytuc tz
Instagram keytuc-tz
 kitusi.kidogo@gmail.com

New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI