Pages - Menu

follow

16/08/2015

AMBWENE ALLEN YESSAYA (A.Y)

Abwne allen yessaya alizaliwa julai 5 1981jina la stage anajulikana kama A.Y ni mwanamuziki anaye fanya mzik wa komesho,rap na hip hop PIA ni muigizaji na mwanamitindo  kutokea nchi ya Tanzania

A.Y  tangu alipo kuwa mototo alijihusisha na maswala ya muziki alipo kuwa shule ya msingi alikuwa akishiliki katika matamasha mbali mbali ya kutafuta vipaji na pia alitumbuiza katika halfa mbali mbali. Mnamo mwaka 1996 akiwa high school aliunda kundi la S.O.G  lililo jumuisha wasanii wa tatu akiwepo yeye mwnyewe katika hilo kundi na wenzake wa wili

Mwaka 2005,AY alitoa albamu yake ya pili aliyoipa jina ‘Hisia Zangu’, na ‘Yule’, single ya kwanza kutoka katika albamu hiyo, ilikamata chati mbalimbali za muziki.Katika albamu hii,AY aliwashirikisha wasanii mbalimbali maarufu katika Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Prezzo,Tattuu na Dexu Vultures (wote kutoka Kenya) na msanii Maurice Kirya kutoka Uganda.Hii ilisaidia sana kumtangaza zaidi AY nje ya mipaka ya Tanzania.Single yake ya pili, ‘Binadamu’,ilifanya vizuri sana ukanda mzima wa Afrika Mashariki na hatimaye kuteuliwa kugombea Tuzo za Kora,jambo lililoandika historia kwani AY ni msanii wa kwanza wa kiume kutoka Tanzania kuteuliwa kugombea Tuzo hiyo
 Umaarufu wa AY ulizidi kuongezeka hasa baada ya kutoa albamu hiyo ya pili,na sasa alitambulika kama mmoja wa wasanii mahiri wa Afrika Mashariki.Mwaka 2006 alifanikiwa kupata mkataba wa kutangaza kinywaji (kikali) cha ‘Konyagi’ ambacho ni maarufu ndani na nje ya Tanzania.Mkataba huo ulichangia AY kutambulika zaidi kupitia matangazo ya kinyaji hicho,na ulifungua njia kwa makampuni mengine,kama Coca Cola,Vodacom,Celtel (sasa Tigo) na Kilimanjaro Lager kuingia mikataba na msanii huyo

No comments:

Post a Comment

New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI