Pages - Menu

follow

23/02/2015

witnes awakasilikia wanaume

ONYO kama unaniletea dili niletee ila usitegemee kugusa hata kipande changu cha mwili,inawezekana nina shida ya dili ila sina umaskini wa akili, inawezekana viungo vyangu sijavilipia ila haimaanishi ni vya kugawa ovyo bila heshima na mpangilio, hii kitu si kifuu wala si tishu ni kitu cha thamani na utambulisho wangu ni ajiri ya mpenzi wangu na kuzalishia wanangu ili kuijaza dunia, so plz jiheshimu kama una nia hizo plz ishia huko huko dont waste my time,mpaka nimeamua kusema hivyo wamezidi yaani unafanya appointment ya kibiashara anatumia kama njia ya kutaka kulala na wewe huku anajidai anataka kukusaidia, alaah ‪#‎stupidmazakafaz‬, kama mmezoea haka kamtindo na artist wengine wa kike wanotumia umaarufu wao kama njia za kufanyia biashara ya ngono, siyo mimi hapa kazi tu mapenzi kwenu!

No comments:

Post a Comment

New video

simu tv

simu tv

MPIGIE KURA WAKAZI

MPIGIE KURA WAKAZI