Producer –cjamoker
Intro
Isho boy allan king anh yah
Whasap bby yeh you know anh
Vers 1
Upendo wako umeniteka mama Lao
Sitaki nikukose amini mimi ndo Ngao
Kwa job nikitoka ma kiss my like Waoh
Yea my like waoh anh my like Waoh
Nasikia mtani wana bonga kisa nipo nawe wana Chonga
Ujue ukinitupa nitakonda Ujue bila wewe siwez Songa
Mapenz unayonipa nime data kiukweli ukinitupa Nitafyata
Popote utakapokwenda nita kufuata nataka tuwe wawili kama Pacha
Mapenzi unayo nipa nimechanganjikiwa kama nikiwa kando ya Ziwa
Nikiwa na wewe na hisi napaa embu ongeza zaidi ili niwe na Furaha
Chorus
Siwezi kuishi bila wewe siwezi kuish mbali Nawe +2
She my one and only your special for Me +2
Verse2
Dreams zimekwenda yaan very Nice
God ame bles love think Twice
Tusije furia kama mr nice very nice so Good
Twende phildefhia honey moon nipige magoli kama ya Loon
Upate mototo very soon tununue Tv acheki cartoon za tom na Jerry
Love uki ni cheat nita feli end of the day utaenda hHell
moyo utazima kama pc ya Dell
Shory we ndo ma paradise vile ume ni fit yan full Size
Bby follow me mkono kwenye Shoder
Usiwe na hofu yeah am here Solider
Chorus
Siwezi kuishi bila wewe siwwez kuish mbali Nawe +2
She my one and only your special for Me +2
Ni wewe unae nipa Faraja
Ni wewe unae nipa furaha anha anha aa Enh ee
Ni wewe unae nipa faraja anha a A h